Afrika Ya Mashariki

Afrika Ya Mashariki

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.
00:00
00:00

Episodes

164-

EAC: Kesi za kisiasa au utawala wa kisheria

11 Sep 2026
163-

Kenya yaanza safari ya kutafuta dira mpya, ruwaza ya 2030 ikielekea kufika ukomo

21 Aug 2026
162-

Tanzania: Nanenane imebaki maonesho ya kilimo au imegeuka soko la biashara?

12 Aug 2026
161-

Safari ya Tohara ya kitabibu kutoka mila hadi afya ya umma

01 Aug 2026
160-

Mazungumzo ya kitaifa yanaweza kuponya majeraha ya DRC?

24 Jul 2026